
ADHABU za Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Nchini (TFF) dhidi ya wadau wa michezo wanaohusishwa na upangaji wa matokeo katika Kundi C la Ligi Daraja Kwanza msimu huu, limemgusa aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia na kuitaka serikali kuingilia kati.
0 Response to "Adhabu za TFF zamshtua Nkamia"
Post a Comment